Huu ujumbe toka kwa Mombobied umenichekesha sana nikaona ni share nanyi ?? kuna kitu cha kujifunza!……… swali are you a magician? ??? Lakini watu wengi ambao tuna hela ya ‘kuunga unga’ ndio huwa tuna matatizo kama haya!! Haya sasa tujifunze na tubadilike!
