Jamani mrembo wetu ndo kesha tamka hivyo kuwa King Kiba case ilishafanyiwa kazi, hukumu akaitoa, na sasa ni “CaseClosed” ?? Mimi nawatahadharisha walevi wote wa #MwendoKasi kuwa hapa ni mpaka kifo! Please muacheni wifi yetu lol!……… Hiyo ilikuwa ndio #MCM wake leo. Nice pic Jokate
![](https://i0.wp.com/www.alphaigogo.com/wp-content/uploads/2016/10/Screenshot_2016-10-10-15-54-50-1-1.png?resize=672%2C372&ssl=1)