Kutoka Facebook

FB_IMG_1463407704585-1Nimependa sana hii picha ya dada yangu Tuma. Kapendeza sana. Napia leo ni siku yake ya kuzaliwa, hivyo naomba nimtakie kheri na furaha ya siku ya kuzaliwa kwakwe. Ubarikiwe sana milele zote……..

Nampenda sana huyu dada yangu kwani anahekima sana, siyo mtu wa magroup, na wala si “Nyumbu”! Yani hajashikiwa akili na marafiki au watu baki. Maamuzi yake huyafanya kulingana na kile anachokijua kuwa ni ukweli na sahihi. Sio kama baadhi ya watu ambao wao hawawezi kutafakari na kuchuja kabla ya kufanya maamuzi. Ni mtu mwenye msimamo wake binafsi kwani hapendi kujihusisha na chuki zisizokuwa na msingi. Na kwasababu hiyo amekuwa msaada mkubwa sana kwangu mimi! Amenifariji sana na kunipa moyo siku zote. Kwakweli namshukuru sana Mungu kwa kunipa watu kama dada Tuma…… sina cha kumlipa bali namuombea mibaraka yote toka Mbinguni kwa Mungu.

Happy birthday my darling sister, I love you big!❤❤❤ ?

Soma zaidi kuhusu dada Tuma hapa

Leave a Reply