“Sheria hii ikiletwa Bongo tutaheshimiana sana”~~~~ Lemutuz

screenshot_2016-10-19-10-57-42-1screenshot_2016-10-19-10-57-17-1

The faces!

screenshot_2016-10-18-22-37-18-1HoyceTemu: kapendeza sana na natural look. Napenda sana watu wanaoweza kupaka makeup ya wastani na wakapendeza bila kupoteza their natural lookscreenshot_2016-10-18-22-39-22-1Wema Sepetu: Nimependa sana nywele zake na makeup imemkaa vizuri yani kawa natural. Nafikiri hii nguo za Blue color huwa zinamvuto sana kwa Wema. Nikiangalia picha zake nyingi alizovaa hii color naona ni nzuri zaidi fb_img_1476847660614Jackline Ntuyabaliwe: simple as always. Kapendeza sana

:Just noticed kumbe hawa wote walikuwaga Miss Tanzania at one point ??

ARUSHA ACHENI SIASA NA UTAWALA WA KIHUNI~~~Peter Sarungi

Nimeshawahi kuandika kuwa kuna tofauti katika kushabikia club za mpira na vyama vya siasa. Siasa inagusa maisha ya kila siku ya mwanadamu, ukiingiza ushabiki usio kuwa na tija kama wa club za mpira katika siasa ni wazi utakuwa una cheza na maisha ya watu na inawezekana uka angamiza ndoto za wananchi. Kilichotokea katika hafla ya uzinduzi wa ujenzi wa kituo cha afya ya mama na mtoto jijini Arusha ni dhairi kuwa bado tuna safari ndefu sana ya kutoa elimu ya kujitambua sio kwa wananchi pekee bali hadi kwa viongozi tunao wachagua na wale wanao teuliwa na mamlaka za juu. Haya matukio ndio yanayo akisi ukweli wa kauli ya Donald Trump aliposema “Afrika bado inahitaji kutawaliwa kwa mda mrefu zaidi” akimaanisha bado viongozi wetu tunao wachagua ili kutuongoza na kututawala hawajitambui, hawana weledi na utashi mzuri wa siasa na utawala, wana ubinafsi na sifa zilizopitiliza, hawajui kutofautisha siasa na harakati, wengi wana akili na tabia za kitoto katika kufanya maamuzi, wengi wana angukia kwenye utafiti wa Twaweza hasa kundi la Vichaa, wengi wana ongoza na kutawala kwa kutumia propaganda chafu kwa maslai yao na ya vyama vyao. Ukweli ni kwamba tunao pata Hasara ni sisi wananchi tunao kaa pembeni kusubiria utashi wa wana siasa kama hawa. fb_img_1476910893576Huu ni UHUNI wa kulaani bila kupepesa macho, haiwezekani tukakubali kupata aibu tena aibu inayotokana na Ufinyu wa Busara kutoka kwa viongozi wetu tunao waamini watuongoze, Uhuni unaoletwa kwa maslahi binafsi ya watu wawili, Uhuni unaoletwa na Akili ndogo ambazo hazipaswi kupewa dhamana, Uhuni wa kutengeneza kwa makusudi kabisa wa kutaka sifa bila kujali athari za akina mama na watoto, Uhuni wa mwisho kabisa kuvumilika.

Mrisho Gambo (RC) na Godbles Lema (MP) hamtutendei haki hata kidogo na kamwe siwezi kusapoti UHUNI huu, yaani jambo dogo linawafanya mnakosa busara mbele ya wageni tena wafadhili walio kubali kuweka mabilioni ya pesa kwaajili ya kutatua matatizo ya wananchi wenu, sasa umuhimu wa nyinyi kuwa viongozi wakati hamtaki maendeleo ni upi? Mnataka sifa kwa kutumia Propaganda ili iweje? Hopeless kabisa na vizuri mkajichunguza akili zenu kupitia Twaweza.

Matokeo ya Tukio hili……..

1. Tukio linaonesha kutokuwepo kwa uhusiano kati ya Mbunge na Mkuu wa Mkoa, hii inamaanisha maendeleo ya jiji la Arusha yapo njia panda.

2. Mbunge hana busara za uongozi hasa baada ya kuhamaki kwa jazba mbele ya wageni.

3. Mbunge hana nidhamu kwa mkuu wa mkoa na hajali itifaki /protocal na hivyo kuzidisha mgororo kati yao.

4. RC hana busara za utawala hasa baasa ya kudharau na kubeza jitiada za Mbunge katika project husika.

5. RC yupo kwa malengo tofauti na mendeleo ya wananchi anao waongoza na anatumia uongozi wake kufanikisha hayo malengo yake.

6. Wafadhili watamini maneno ya Trump na watakuwa wamefadhaishwa sana na kitendo hicho.

Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)
Na Peter Sarungi (Next Speaker, Baba Pilato)

#Mytake.
1. Ni kweli tunahitaji viongozi wabunifu, wachapakazi na wanao tafuta maendeleo kama G.Lema lakini ni kweli pia kwamba hatuhitaji viongozi wasio na nidhamu na wasioweza kulinda maendeleo waliyo yatafuta kama G.Lema. Acha jazba za kihuni katika ku handle issues za maendeleo. Mchezo huu hautaki Hasira kaka..

2. Mrisho Gambo, usitafute sifa zinazo kuzidi uwezo. Kasi ya JPM ni ya kupongeza yetote yule anaye leta maendeleo katika nchi anayo iongoza. Usiwe kikwazo katika hili na wala usitake sifa ya kuwa RC anaye ponda kila kitu cha upinzani, hao wapinzani nao wamepewa dhamana ya kuongoza Arusha tena na wanachi. Usipo badilika basi unafaa kutumbuliwa na JPM.

Asanteni sana

BAADHI YA MAONI: screenshot_2016-10-19-16-00-35-1 screenshot_2016-10-19-16-00-42-1

 

“Whatever, my Lord, You have taught me to say – It is well, it is well with my soul”

img-20161017-wa0008“The song “It Is Well With My Soul” was written by a successful Christian lawyer Heratio Spafford. His only son died at age 4 in 1871. In 1872, the great Chicago fire wiped out his vast estate, made from a successful legal career. In 1873 he sent his wife & 4 daughters over to Europe on a summer trip on the ill fated SS Ville du Havre. Since he had a lot of work to do, he planned to follow them later. The Ship sank and he lost his 4 daughters with the wife being the only survivor. She sent him a famous telegram which simply read, “SAVED ALONE….” On his return home, his Law firm was burned down and the insurance company refused to pay him. They said “It’s an Act of God”. He had no money to pay for his house and no work, he also lost his house. Then while sitting and thinking what’s happening to him, being a spiritual person, he wrote a song – “Whatever, my Lord, You have taught me to say – It is well, it is well with my soul”. My dear friend, a good attitude will determine your altitude. When you look at your life, career, job or family life, what do you say? Do you praise God? Do you blame the devil? A good attitude towards God makes Him move on your behalf. Just sit down and say, “Today, God, it is well with my soul, I am thankful I had a peaceful sleep, I am thankful I am alive with possibilities, I am thankful I have a roof over me, I am thankful I have a job, I am thankful that I have Family and Friends. Above all, I am thankful that I have the Lord Jesus Christ on my side.” Be blessed and don’t be envious or shocked when others are prospering because you don’t know what they have been through to get there (test, trials and tribulation) so thank God for what you have. “Little is much when God is in it. It Is Well With My Soul!” Touch someone’s life with this message. If God is for us, who can be against us? Don’t read if you can’t forward. God has seen you struggling with something. God says it’s over. A blessing is coming your way. If you believe in God send this message on, please don’t ignore it, you are being tested. God is going to fix two things (BIG) in your favor. If you believe in God, drop everything and pass it on. Tomorrow will be the best day of your life. Don’t break this. Send this to fourteen friends in 10 minutes.”~~~~~Source: sent to me by a friend

Manhood: ‘Wanyama wa Msimbazi’!

screenshot_2016-10-18-22-46-06-1Those words from Moo Dewji?! Very powerful and uplifting!!

Job interview part 3: by Hoyce Temu

screenshot_2016-10-18-22-37-34-1screenshot_2016-10-18-22-52-18-1

Keeping up with Blessing

img-20161017-wa0003Wacha wee! Hapana chezea Blessing! Watoto wa DotCom wanazaliwa na swag za picha ?? pendeza sana

Haya mdogo wangu kazana hivyo hivyo mdogo mdogo utafika tu! Hata Mbuyu ulianza kama mchicha!

Big-up Dr Asha-Rose Migiro

screenshot_2016-10-19-10-19-53-1Isn’t that something! Too cute! Unajua kuishi huku na wenzetu kuna mengi MAZURI yakujifunza pia na mengi MABAYA yakuto jifunza unaangalia tu nakuyaacha jinsi yalivyo!…… Sasa katika vitu vya kujifunza moja wapo ni KUWA WEWE KAMA WEWE! Yani mambo yale ya unafiki unafiki hakuna! Eti sijui kiongozi tena mwanamke wa umri wa Dr. Migiro  achezee mpira namna hii Tanzania?  Subutu! Labda awe Mwalimu wa Netball kama mama yangu mkubwa Mary Protuz?? Nakumbuka huyo mama yangu mkubwa watu walikuwa wakisema wee “behind her back” kuwa havaagi gauni wala sketi! Yani yeye ni mtu wa suruali, na short pants siku zote. Na wala huto mkuta akifunga Khanga labda anakwenda kuoga! ………Anyway big up Dr. AshaRose Migiro,  talent has no end, and there’s no age limit to have fun!

Picha iliyonivutia zaidi

fb_img_1476854205588isn’t she pretty! Tiffah mwana wa Diamond. Mjukuu wa bi Sandra kazurije sasa. Mungu akulinde ka little star wetu! ??

Job interview part 2: by Hoyce Temu

screenshot_2016-10-18-22-37-34-1screenshot_2016-10-18-22-52-07-1

Happy birthday my darling brother!

fb_img_1476855932276-1A very happy birthday wishes to my dear brother. May your day be brighten, may this new yr bring more happiness, love and success to you. May you have a warmly birthday and marvelous year ahead.  Happy birthday baba Mary and Gabriel. Love you mingi sana, can’t wait for another Kondoo day like this one, the unforgettable moment with you and your family ??

Nilisemaga huko nyuma na leo nasema tena!

Huko nyuma nilishasema kuwa, mzee Lowassa na mama Lowassa ukiwaangalia matendo yao utajua kuwa hawa watu ni wastarabu sana! Ni watu wako humble sana. Kila mtu anamapungufu yake lakini ukorofi wa kishamba usio kuwa na tija siyo style yao ya maisha wala tabia zao binafsi. Kuna watu tu wanataka kuwatumia hawa wazee vibaya lakini naona wako makini sana!! ……Ninayo yasema hapa siongelei kisiasa au makosa aliyoyafanya kwenye utawala wake hapana! Nawaongelea kama binadamu wenzangu raia wa hii dunia. Hayo yaliyotokea huko yalishapita tunaganga yajayo! …….. Kwakweli wameonyesha mfano nzuri sana kwa jamii ya jinsi KIONGOZI na raiya wa hii dunia inatupasa tuwe! Siasa si chuki jamani! Jana nilifarijika kuona Mayor wa Jiji la Dar ambaye ni mwana Chadema akimuongelea vizuri na kumsifia sana  aliyekuwa  kiongozi au former Mayor wa Jiji la Dar ambaye alikuwa ni mwana CCM (Dr. Didas Massaburi).  Ni mfano mzuri sana wakuigwa. ………anyway, ubarikiwe sana Mh. Lowassa.

Life of a designer

fb_img_1476847407235

“LB NEWS UPDATE: Award winning fashion designer Linda Bezuidenhout was invited to attend the NFL Alumni Georgia Chapter Golf Classic on Oct 17th, 2016 at the Legacy Golf Course at Lake Lanier Islands.
This is an annual event where NFL and other sports legends meet for a Golf Tournament to benefit children. Among the NFL and MLB Legends in attendance where Alphonso Carreker (Green Bay Packers), Sam Horner (Redskins) Todd Burks and many more. Thanks to Doug and Felicia Reid of Venture Sports Shows for the invitation. The event kick off mixer was held at Sutherlin Nissan on Sunday Oct 16th.

Seen in the photos on the left is
Phil Niekro (Major League Baseball Hall of Famer)
On the right is Sam honor
Formal NFL player
Washington red skins”~~~~~~~~ maneno yake Linda Bezuidenhout ………hongera sana Linda zidi kwenda mbele zaidi na zaidi! Amina!

Hapana chezea babu na mjukuu wake

img-20161018-wa0000My niece Mary, look how cute you are! Natural beauty!……….wapendwa wasomaji wangu, huyo mtoto ni niece wangu mtoto wa kaka yangu mkubwa. Jana alizawadiwa zawadi ya Laptop na babu yake kama zawadi ya kumaliza darasa la saba na kujiandaa kwenda form One. Yani hapana chezea babu na wajukuze ati?? siyo kwa kupendwa huko ??………Nafikiri Mary ataendelea na shule za private kwasababu huyu ni ‘MuingerezaMtanzania’! Ana uraia wa UK na TZ hivyo ni vyema akasome college UK au U.S.A kwa aunt yake mimi hapa ?? ……. huyo wa nyuma ni mama yake mzazi  (wifi yangu). Anyway, Mungu azidi wabariki. ❤ you all ?

Job interview part 1 – by Hoyce Temu

screenshot_2016-10-18-22-37-18-1 screenshot_2016-10-18-22-38-51-1

Nani kama mama!

fb_img_1476657319987-1Awii! My mama huyo! Mama yangu mkubwa jamani! Mrs. Felister Musira! Huyu ndio kifungua tumbo cha bibi yangu mzaa mama, marehemu bibi Valeria Cornel Awiti. Ndio uzao wa kwanza wa babu yangu marehemu mzee Cornel Awiti. …….nakupenda sana mama yangu.  Nakuombea maisha marefu zaidi yenye afya njema na amani tele ?

ASANTE MH. JPM KWA UKWELI NA UWAZI-Peter Sarungi

Maisha ya binadamu ni mafupi sana ukilinganisha na mipango yake, hivyo kuishi kwa binadamu kunahitaji tyming kwa kila jambo. Hivyo Ukweli na Uwazi ni nguzo kuu ya maisha yetu ya kila siku.c1Kumekuwa na gumzo kubwa katika mitandao ya jamii kuhusu kauli ya Mh. JPM juu ya kutambua wake wa Marehemu Dr. Massaburi, wengine wakimshangaa na kumlaumu JPM na wengine wakimsifu kwa kusema ukweli uliofichwa na msemaji wa familia.

Binafsi nampongeza sana Mh. JPM kwa kuondoa huo Ukakasi katika jamii nyingi za watanzania, nimemuelewa sana JPM na kauli yake ya Ukweli itasaidia wajane na watoto wa viongozi wanaokuwa wanatangulia mbele za haki kama Massaburic5Ukweli ni kwamba Massaburi alikuwa ni kiongozi wa kitaifa lakini pia alikuwa ni mtu anayetokea katika jamii ya kabila la LUO. kabila lenye tamaduni na desturi mbalimbali ikiwemo ya kuwa na wake zaidi ya mmoja. Kwetu Ujaluoni kuna sababu za kuwa na wake wengi, moja ya sababu ni kuendeleza Ukoo. Naamini Dr.Masaburi alikuwa na ndoto ya kuendeleza na kupanua Ukoo wake utakao beba jina Massaburi, na hili amefanikiwa ila sijui amefanikiwa kwa kiwango gani alichokuwa anataka. Na amefanikiwa kwa sababu ya kuwa na wake wengi, maana huwezi kuwa na watoto 20 kwa mke mmoja ukiwa na miaka 56 hadi mauti yanapo kufika. Na kama ukilazimisha watoto 20 watoke kwa mama mke mmoja tena kwa kipindi cha miaka 30 ya ndoa basi huo utakuwa ni Unyanyasaji wa wanawake ambao WALUO wengi hatupendi unyanyasaji huo. Sisi WALUO tunajua Marehemu alikuwa na wake watano ambao alifanikiwa kupata nao watoto na wote wanatambulika kwa mila na desturi zetu. c2Nadhani msemaji wa Familia alikengeuka kutoka na haya mambo ya protocal za serikali na chama pamoja na kuiga tamaduni za magharibi. Asingekuwa ni kiongozi wa kitaifa basi WALUO tungefuata taratibu zetu zote za LUO katika Mazishi yetu, tumeheshimu serikali na chama.

#Mytake tusipende kuiga kila mtindo wa maisha kutoka Magharibi hata na sisi tuna mitindo ya maisha iliyotulea toka enzi na enzi za mababu zetu na inatufaa kulingana na mazingira yetu ya kiafrika. Afrika nayo ina imani, desturi na mila zetu tusipotezwe na itifaki za serikali na vyama tukajikuta tinasema Uongo na kuficha Ukweli.

Peter Sarungi akiweka signature kwenye msiba wa Dr. Didas Massaburi
Peter Sarungi akiweka signature kwenye msiba wa Dr. Didas Massaburi

Asanteni sana.

fb_img_1472436063790Asante kaka yangu kwa kuongea ukweli…… Hapa Mh. JPM aliongea kama rafiki wa karibu wa marehemu. Pia kutokana na mambo ambayo yaliyo jitokeza ambapo kama Rais asingetumia sauti yake (his power) kusema hadharani basi kuna uwezekano mkubwa wa baadhi ya wake na watoto kunyimwa haki yao ya mirathi haswa mke mkubwa ambaye she has been the wheel ya maendeleo ya Dr. Massaburi kiuchumi!! Asante Rais kwa kusema ukweli?

“Ukiambiwa unielezee mimi #Paul_Makonda unadhani utaandika nini?”

screenshot_2016-10-18-19-33-16-1Wewe ni binadamu haukosi mapungufu yako kama binadamu yoyote yule. Lakini wewe ni kiongozi shupavu usiye ogopa kusema ukweli, mwenye mtazamo chanya wa maendeleo ya vijana wa taifa la leo na kesho. Ni kiongozi mwenye uzalendo na moyo wa imani kwa watu wote hauna unafiki. Nakutakia maisha marefu yaliyojaa amani na upendo mwingi ili Tanzania ifaidike na kujivunia kuwa na mtu kama wewe ?

Matukio katika picha: Dr. Victoria Kisyombe at VV100 retreat

Dr. Victoria Kisyombe
Dr. Victoria Kisyombe

Dr. Victoria Kisyombe is a founder of SELFINA an organization for women financial empowerment in Tanzania.  Last week she attended the VV100 (Vital Voice) retreat, in Seattle, Washington…..the following are some of the pictures during the retreat…..fb_img_1476757290734img_20161017_212620“Excellent memories with great ladies, top 100 (VV100) Vital Voices. We had a great retreat. Shared great experiences, together mapped the way forward at this exotic and beautiful place, the Ritz-Carlton Half Moon Bay in San Francisco! Vital Voices you are the best. Johnson & Johnson thank for supporting this initiative. Millions of women around the world benefit from this! I thank God for giving me this opportunity to play a role in my own small way!”~~~~said Dr. Victoria Kisyombe on her Facebook account fb_img_1476757334996fb_img_1476757283369fb_img_1476757305878fb_img_1476757277919fb_img_1476757363571fb_img_1476757319996fb_img_1476757349632fb_img_1476757341870To read more about Dr Victoria Kisyombe click ? Dr.Kisyombe 

Dr. Magufuli baba unatumbua majipu mpaka kwenye misiba?!

fb_img_1472436063790Mmmh! “Amefunga ndoa na Janet Massaburi”, Okay! Yes!  “Na ameacha wajane”? Uncle Foo! Are you okay! Hao wajane ni wakina nani, kwanini hukuwataja watu wakawasikia?? Na idadi yao!! Mbona mnafanya mambo ya aibu namna hii!….. Hata nyie wenyewe dhamira zinawasuta! Nampenda sana aunt Janet Massaburi lakini ukweli ni kwamba Ashura Massaburi ndio mke mkubwa wa marehemu! Kila mtu analijua hilo hata marehemu anajua hivyo! Yes! Alifunga ndoa na aunt Janet but tell people the truth the Real story behind hiyo ndoa ya kanisani! Mmh! Hapana, msifanye hivyo siyo vizuri kabisa!

c5Rais akiwa na mkewe wakati akitoa pole kwa wake za marehemu. Hapo kwa upande wa kulia ni mke mkubwa wa marehemu Ashura Massaburi a.k.a NyarKigoma (maana yake ni binti wa Kigoma), na kushoto ni Janet Massaburi a.k.a NyarMajita (binti kutoka Majita) ambaye ni mke wa tatu!

fb_img_1472436063790Dr Magufuli baba umenichekeshaje?! Unatumbua “majipu” mpaka msibani ??? But huo ndio ukweli wenyewe!…………. Kwa kweli mimi sitaki ongea mengi kwa leo ngoja niwaache ndugu zangu waomboleze kwa amani! Lakini haya mambo ya kuoa wake wengi mmh! Nishida tupu! Mnatesa watoto na ndugu wa karibu bila sababu ya msingi! Mambo ya ukewenza yalikuwa zamani hizooo! siku hizi ni matatizo tu haswa pale unapokuta the so called “step mother” ana roho ya kichawi halafu unalazimishwa undugu naye ?? Ngoja ninyamaze mie ?? …………. Mimi naona kama watu mmechokana ni bora kila mtu achukue hamsini zake kuliko hii fedheha!…….. Anyway, hekima na upendo wa Mungu ukawatawale na shetani asipate nafasi! ??c2 Wake za marehemu Dr Didas Massaburi wakiwa wamekaa mstari wa mbele. c1Rais Maagufuli akitoa neno, pembeni yake mwenye suti ya dark maroon ni mzee O.O Igogo

Picha zote nimetoa kwa ? Michuzi

Kwa picha zaidi ? Vijimambo

Blog