Wajukuu wakiwa na nyuso za furaha wakisubiria kushudia historia ya maisha ya ndoa ya bibi na babu.
Familia ya mzee Mkapa ikiwa katika ibada takatifu ya shukrani kwa Mungu katika kuwawezesha wazazi wao kudumu katika angano takatifu kwa miaka 50!
Mr and Mrs Mkapa wakiingia kanisani huku wakisindikizwa na watoto wao, in-laws, na wajukuu wao!
Wakiombewa na kuvalishana pete ya nadhiri ya miaka 50
Wow! Walipokea cheti maalum toka kwa Papa huko Vatican! What an inspirational event! God bless them abundantly
Mambo ya kumbu kumbu
“kodaki” moments kutoka kwa wanafamilia
Wakisalimiana na ndugu, jamaa, na marafiki kutoka pande zote. Na hapa namuona mstaafu Major General G. Waitara na mkewe
Viongozi mbali mbali wa serikali na dini walikuwepo
Mzee Mkapa akiongea na wageni waalikwa
Watoto, in-laws, na wajukuu waki share cake ya kheri ya miaka 50 ya ndoa
Rais aliyestaafu hivi karibuni Mr Kikwete na mkewe nao walikuwepo
Wana familia
Watu walipendeza sana
Safi sana!……… Tunawaombea na kuwatakia kheri siku zote ili tuje tushuhudie their ‘Diamond’ anniversary! ………….. Btw, Happy 13th Wedding Anniversary to you Foster and your darling! 37 more years to go to celebrate that “golden” moment! All the best!

One thought on “Picha katika 50th wedding anniversary ya Mr and Mrs Mkapa”