Alikuwa mtangazaji wa zamani wa Radio One hapa Tanzania lakini kwasasa ni Mtangazaji wa VOICE OF AMERICA (VOA) Nchini Marekani.. Thembonishow inakuleta karibu na ndugu na jamaa waishio nchini Marekani #HII NDIO THE MBONI SHOW usikose kuangalia show ijumaa saa moja kamili jioni."
